• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
Kilimanjaro Region
Kilimanjaro Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Kilimanjaro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Mkoa
    • Viongozi wa Mkoa
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Sekretariati ya Mkoa
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti
    • Idara
      • Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Serikali za Mitaa
      • Afya
      • Elimu
      • Maji
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Teknologia ya Habari na Mawasiliano
      • Internal Audit
      • Kitengo cha Sheria
      • Procument and Supply
    • Miongozo
  • Wilaya
    • Hai
    • Moshi
    • Mwanga
    • Same
    • Rombo
    • Siha
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya ya Hai
    • Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
    • Halmashauri ya Manispaa ya Moshi
    • Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Same
    • Halmashauri ya Wilaya ya Siha
    • Halmashauri ya Wilaya ya Rombo
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Uvuvi
  • Huduma Zetu
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Matangazo
    • Albam
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari

Waziri Aweso Avunja Mkataba na Mkandarasi wa Mradi Mkubwa wa Maji

Posted on: December 25th, 2020

Seriakali imesitishisha mkataba wake na mkandarasi  anayejenga mradi wa maji wa Same, Mwanga Korogwe  katika chanzo cha maji  bwawa la Nyumba ya Mungu wilayani mwanga.

Akitoa tamko la serikali baada ya kutembelea mradi huo, Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso amesema serikali imefanya uamuzi huo baada ya mkandarasi  A.M Kharafi & Sons aliyepewa kazi ya kujenga miondombinu ya maji kwenye chanzo kuchelewesha mradi huo huku wananchi wakiendelea kupata tabu ya kukosa huduma muhimu ya maji.

Mhe. Aweso kwa niaba ya serikali amewaomba radhi wananchi wanapata shida ya maji kutokana na kuchelewa kwa kukamilika kwa mradi huo.

Aidha Mhe. Aweso amemuagiza mkandarasi  A.M Kharafi & Sons ahakikishe kuwa wananchi wote walifanya kazi katika mraadi huo wanalipwa stahiki zao zote wanazodai na serikali itasimamia kwa karibu kuhakikisha wananchi hao wanapata  haki  zao.

Mbali na hayo Mhe. Aweso  amemtaka  mkandarasi Badr East Africa Enterprises Ltd anayesambaza miuondombinu ya maji ikiwemo mabomba kuongeza kasi ya utekelezaji ili ifikapo mwezi Machi 2021 awe amekamilisha kazi kama mkataba ulivyosainiwa kwani  serikalia haitatoa muda wa ziada endapo muda huo utafika bila kazi kukamilika.

Mradi wa maji wa Same Mwanga Korogwe unatarajiwa  438,000 wa wilaya za  Mwanga, Same na Korogwe



Matangazo

  • Kwa Huduma Bora ya Ukumbi wa kisasa wa Mikutano, Tafadhali fika Ofisini au wasiliana nasi kwa S.L. P 3070, Moshi. au Piga simu namba 027 2758248/027 2751 February 03, 2020
  • Angalia Zote

Habari

  • Waziri Aweso Avunja Mkataba na Mkandarasi wa Mradi Mkubwa wa Maji

    December 25, 2020
  • Serikali Yarudisha Mali za Ushirika

    November 12, 2020
  • Rais Magufuli: Viwanda Suluhisho la Ajira

    October 22, 2020
  • Rais Magufuli Asikitishwa Mradi wa Maji Kuchelewa

    October 20, 2020
  • Angalia Zote

Video

Tamasha la Upimaji VVU Mkoa wa Kilimanjaro
Video

Kiunganishi cha Haraka

  • Webmail
  • Malalamiko
  • Fomu ya Opras

Tovuti zinazohusiana nasi

  • Ikulu
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Mfumo wa kuomba vibali vya kusafiri nje ya nchi (LIVE)
  • Manispaa ya Moshi
  • Mfumo wa Usambazaji Mafaili kwa njia ya Ki-Eletroniki (E-Office)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Florida Street

    Anuani ya Posta: P. O. Box 3070, Moshi

    Simu: 027 2758248/027 2751

    Mobile:

    Anuani pepe: ras@kilimanjaro.go.tz/ras.kilimanjaro@tamisemi.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakiimiliki©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro.Haki zote zimehifadhiwa